Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Nami nitawatawanya ninyi katikati ya mataifa,+ nami nitauchomoa upanga nyuma yenu;+ nayo nchi yenu itakuwa ukiwa,+ na majiji yenu yatakuwa bomoko lenye ukiwa.

  • Yeremia 19:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitalifanya jiji hili kuwa kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi.+ Kila aliye wa mwisho atakayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+

  • Yeremia 49:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,”+ asema Yehova, “kwamba Bosra+ litakuwa kitu cha kushangaza,+ shutuma, uharibifu na laana tupu; na majiji yake yote yatakuwa mahali palipoharibiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Ezekieli 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yao+ na kuifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa, kuwa ukiwa mbaya zaidi kuliko nyika inayoelekea Dibla, katika makao yao yote. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki