8 Nami nitalifanya jiji hili kuwa kitu cha kushangaza na kitu cha kupigiwa mluzi.+ Kila aliye wa mwisho atakayepita kando yake atatazama kwa mshangao na kupiga mluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+
13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,”+ asema Yehova, “kwamba Bosra+ litakuwa kitu cha kushangaza,+ shutuma, uharibifu na laana tupu; na majiji yake yote yatakuwa mahali palipoharibiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+
14 Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yao+ na kuifanya nchi iwe mahame yenye ukiwa, kuwa ukiwa mbaya zaidi kuliko nyika inayoelekea Dibla, katika makao yao yote. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’ ”