Ayubu 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na nafsi yake hukaribia kwenye shimo,+Na uzima wake kwa wale wanaosababisha kifo. Zaburi 143:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ufanye haraka, unijibu, Ee Yehova.+Roho yangu imefikia mwisho.+Usiufiche uso wako mbali nami,+Kama sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka kuingia shimoni.+
7 Ufanye haraka, unijibu, Ee Yehova.+Roho yangu imefikia mwisho.+Usiufiche uso wako mbali nami,+Kama sivyo nitakuwa kama wale wanaoshuka kuingia shimoni.+