Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+ Mhubiri 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini, ingawa iko hivyo, nimewaona waovu wakizikwa,+ jinsi walivyokuja na jinsi walivyokuwa wakiondoka mahali patakatifu+ na kusahaulika katika jiji walikotenda hivyo.+ Hilo pia ni ubatili. Mhubiri 9:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+
10 Lakini, ingawa iko hivyo, nimewaona waovu wakizikwa,+ jinsi walivyokuja na jinsi walivyokuwa wakiondoka mahali patakatifu+ na kusahaulika katika jiji walikotenda hivyo.+ Hilo pia ni ubatili.
5 Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa;+ lakini wafu, hawajui lolote kamwe,+ wala hawana malipo tena, kwa maana kumbukumbu lao limesahauliwa.+