Zaburi 74:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+ Zaburi 85:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Je, utapandwa na hasira kwa sababu yetu mpaka wakati usio na kipimo?+Je, utarefusha hasira yako kizazi baada ya kizazi?+ Isaya 64:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na ghadhabu kupindukia,+ Ee Yehova, wala usilikumbuke milele kosa letu.+ Tazama, sasa, tafadhali: sisi sote ni watu wako.+
74 Kwa nini, Ee Mungu, umetutupilia mbali milele?+Kwa nini hasira yako inatoa moshi daima juu ya kundi la malisho yako?+
5 Je, utapandwa na hasira kwa sababu yetu mpaka wakati usio na kipimo?+Je, utarefusha hasira yako kizazi baada ya kizazi?+
9 Usiwe na ghadhabu kupindukia,+ Ee Yehova, wala usilikumbuke milele kosa letu.+ Tazama, sasa, tafadhali: sisi sote ni watu wako.+