Zaburi 22:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+ Zaburi 76:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+ Mhubiri 5:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni afadhali usiweke nadhiri,+ kuliko kuiweka na kukosa kuitimiza.+
25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+
11 Wekeni nadhiri na kumtimizia Yehova Mungu wenu, ninyi nyote mnaomzunguka pande zote.+Na walete zawadi kwa kuogopa.+