17 Naye Yakobo akaondoka kuelekea Sukothi,+ naye akajijengea nyumba na kutengeneza vibanda+ kwa ajili ya mifugo yake. Ndiyo sababu aliita jina la mahali hapo Sukothi.
27 na katika nchi tambarare ya chini Beth-haramu+ na Beth-nimra+ na Sukothi+ na Safoni, sehemu iliyobaki ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni,+ mto Yordani ukawa mpaka hadi mwisho wa bahari ya Kinerethi+ ng’ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki.