Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye Yakobo akaondoka kuelekea Sukothi,+ naye akajijengea nyumba na kutengeneza vibanda+ kwa ajili ya mifugo yake. Ndiyo sababu aliita jina la mahali hapo Sukothi.

  • Waamuzi 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Baadaye akawaambia watu wa Sukothi:+ “Tafadhali wapeni mikate ya mviringo watu wanaofuata hatua zangu,+ kwa kuwa wamechoka nami ninawafuatilia Zeba+ na Zalmuna,+ wafalme wa Midiani.”

  • 1 Wafalme 7:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Katika Wilaya ya Yordani+ ndipo Mfalme alipoyeyusha katika kalibu ya udongo wa mfinyanzi, kati ya Sukothi+ na Sarethani.+

  • Zaburi 60:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Mungu mwenyewe amesema katika utakatifu wake:+

      “Nitashangilia, nitamgawanya Shekemu awe fungu;+

      Na nchi tambarare ya chini ya Sukothi nitaipima.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki