17 Naye Yakobo akaondoka kuelekea Sukothi,+ naye akajijengea nyumba na kutengeneza vibanda+ kwa ajili ya mifugo yake. Ndiyo sababu aliita jina la mahali hapo Sukothi.
5 Baadaye akawaambia watu wa Sukothi:+ “Tafadhali wapeni mikate ya mviringo watu wanaofuata hatua zangu,+ kwa kuwa wamechoka nami ninawafuatilia Zeba+ na Zalmuna,+ wafalme wa Midiani.”