Hesabu 34:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na mpaka huo utashuka kutoka Shefamu hadi Ribla upande wa mashariki wa Aini, nao mpaka utashuka hadi mteremko wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.+ Kumbukumbu la Torati 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na Araba na Yordani na ule mpaka, kutoka Kinerethi+ hadi bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi,+ chini ya mteremko wa Pisga+ kuelekea mashariki. Yohana 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya mambo haya Yesu akaondoka kwenda ng’ambo ya bahari ya Galilaya, au Tiberia.+
11 Na mpaka huo utashuka kutoka Shefamu hadi Ribla upande wa mashariki wa Aini, nao mpaka utashuka hadi mteremko wa mashariki wa bahari ya Kinerethi.+
17 na Araba na Yordani na ule mpaka, kutoka Kinerethi+ hadi bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi,+ chini ya mteremko wa Pisga+ kuelekea mashariki.