Kumbukumbu la Torati 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 na Araba na Yordani na ule mpaka, kutoka Kinerethi+ hadi bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi,+ chini ya mteremko wa Pisga+ kuelekea mashariki. Yoshua 11:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na kwa wafalme waliokuwa upande wa kaskazini katika eneo lenye milima na katika nchi tambarare za jangwa upande wa kusini wa Kinerethi+ na katika Shefela+ na katika safu za milima ya Dori+ upande wa magharibi, Luka 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Pindi moja umati ulipokuwa ukimsonga na kusikiliza neno la Mungu, alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti.+ Yohana 6:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya mambo haya Yesu akaondoka kwenda ng’ambo ya bahari ya Galilaya, au Tiberia.+
17 na Araba na Yordani na ule mpaka, kutoka Kinerethi+ hadi bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi,+ chini ya mteremko wa Pisga+ kuelekea mashariki.
2 na kwa wafalme waliokuwa upande wa kaskazini katika eneo lenye milima na katika nchi tambarare za jangwa upande wa kusini wa Kinerethi+ na katika Shefela+ na katika safu za milima ya Dori+ upande wa magharibi,
5 Pindi moja umati ulipokuwa ukimsonga na kusikiliza neno la Mungu, alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti.+