18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliona ndugu wawili, Simoni+ anayeitwa Petro+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu wa kuvulia samaki ndani ya bahari, kwa maana walikuwa wavuvi.
16 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya alimwona Simoni+ na Andrea ndugu ya Simoni wakitupa nyavu zao huku na huku katika bahari, kwa maana walikuwa wavuvi.+