Mathayo 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliona ndugu wawili, Simoni+ anayeitwa Petro+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu wa kuvulia samaki ndani ya bahari, kwa maana walikuwa wavuvi. Luka 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Alipoacha kusema, akamwambia Simoni: “Vuta mpaka mahali penye kilindi, nanyi mshushe nyavu+ zenu, mvue.”
18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliona ndugu wawili, Simoni+ anayeitwa Petro+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu wa kuvulia samaki ndani ya bahari, kwa maana walikuwa wavuvi.
4 Alipoacha kusema, akamwambia Simoni: “Vuta mpaka mahali penye kilindi, nanyi mshushe nyavu+ zenu, mvue.”