Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Aliposikia hilo Yesu akaondoka hapo kwa mashua kwenda mahali pasipo na watu ili awe peke yake;+ lakini umati, uliposikia hilo, ukamfuata kwa miguu kutoka katika majiji.

  • Luka 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na mitume waliporudi wakamsimulia mambo waliyokuwa wameyafanya.+ Ndipo akawachukua waambatane naye, nao wakaondoka kwenda faraghani+ na kuingia katika jiji linaloitwa Bethsaida.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki