Mwanzo 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndipo akachukua siagi na maziwa na yule ng’ombe mchanga ambaye alikuwa amemtayarisha, akaweka mbele yao.+ Kisha yeye akaendelea kusimama kando yao chini ya mti walipokuwa wakila.+ Methali 30:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa maana kupiga-piga maziwa ndiko hutokeza siagi, na kufinya pua ndiko hutokeza damu, na kuchochea hasira ndiko hutokeza ugomvi.+
8 Ndipo akachukua siagi na maziwa na yule ng’ombe mchanga ambaye alikuwa amemtayarisha, akaweka mbele yao.+ Kisha yeye akaendelea kusimama kando yao chini ya mti walipokuwa wakila.+
33 Kwa maana kupiga-piga maziwa ndiko hutokeza siagi, na kufinya pua ndiko hutokeza damu, na kuchochea hasira ndiko hutokeza ugomvi.+