Methali 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kama kuongeza makaa kwenye makaa yanayowaka na kuni kwenye moto, ndivyo mtu mgomvi hufanya ugomvi+ uwake moto. Methali 28:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mwenye kiburi katika nafsi huchochea ugomvi,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atafanywa anenepe.+
21 Kama kuongeza makaa kwenye makaa yanayowaka na kuni kwenye moto, ndivyo mtu mgomvi hufanya ugomvi+ uwake moto.
25 Mwenye kiburi katika nafsi huchochea ugomvi,+ lakini yeye anayemtegemea Yehova atafanywa anenepe.+