Kumbukumbu la Torati 32:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+ 2 Samweli 17:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 na asali+ na siagi+ na kondoo na maziwa ya ng’ombe yaliyoganda, wakaleta kwa ajili ya Daudi na kwa ajili ya watu waliokuwa pamoja naye ili wale,+ kwa maana walisema: “Watu wana njaa nao wamechoka na wana kiu nyikani.”+
14 Siagi ya mifugo na maziwa ya kundi+Pamoja na mafuta ya kondoo-dume,Na kondoo-dume, uzao wa Bashani, na mbuzi-dume+Pamoja na mafuta ya figo ya ngano;+Nawe uliendelea kunywa kama divai damu ya zabibu.+
29 na asali+ na siagi+ na kondoo na maziwa ya ng’ombe yaliyoganda, wakaleta kwa ajili ya Daudi na kwa ajili ya watu waliokuwa pamoja naye ili wale,+ kwa maana walisema: “Watu wana njaa nao wamechoka na wana kiu nyikani.”+