Methali 10:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Katika wingi wa maneno hapakosi kuwa na kosa,+ lakini anayezuia midomo yake anatenda kwa busara.+ Mhubiri 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 wakati wa kupasua+ na wakati wa kushona,+ wakati wa kukaa kimya+ na wakati wa kusema;+ Mathayo 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mnaposali, msiseme mambo yaleyale tena na tena,+ kama vile watu wa mataifa wanavyofanya, kwa maana wao huwaza watasikiwa kwa kutumia maneno mengi.
7 Lakini mnaposali, msiseme mambo yaleyale tena na tena,+ kama vile watu wa mataifa wanavyofanya, kwa maana wao huwaza watasikiwa kwa kutumia maneno mengi.