35 Amewajaza hekima ya moyo+ ili kufanya kazi yote ya fundi na ya mtarizi+ na ya mfumaji wa uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau, wa kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora, na ya mfumaji wa nguo, watu wanaofanya kila namna ya kazi na kubuni vyombo.