35 Amewajaza ustadi wa+ kufanya kazi zote za ufundi, kutarizi, na kufuma kwa nyuzi za bluu, sufu ya zambarau, kitambaa cha rangi nyekundu, na kitani bora, na kazi zote za mfumaji. Wanaume hao watafanya kazi za kila aina na kubuni vyombo vya kila aina kwa ufundi.