Mwanzo 3:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na basi akamfukuza huyo mtu, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni+ makerubi+ na upanga unaowaka ambao ulikuwa unajizungusha-zungusha ili kuilinda njia ya kwenda kwenye ule mti wa uzima. Zaburi 99:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+
24 Na basi akamfukuza huyo mtu, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni+ makerubi+ na upanga unaowaka ambao ulikuwa unajizungusha-zungusha ili kuilinda njia ya kwenda kwenye ule mti wa uzima.
99 Yehova amekuwa mfalme.+ Vikundi vya watu na vifadhaike.+Anaketi juu ya makerubi.+ Dunia na itetemeke.+