Mwanzo 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Yehova Mungu akapanda bustani katika Edeni,+ kuelekea mashariki, na hapo akamweka mtu ambaye alikuwa amemfanya.+ Mwanzo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo Kaini akaenda zake kutoka usoni pa Yehova+ na kukaa katika nchi ya Ukimbizi upande wa mashariki wa Edeni.
8 Na Yehova Mungu akapanda bustani katika Edeni,+ kuelekea mashariki, na hapo akamweka mtu ambaye alikuwa amemfanya.+
16 Ndipo Kaini akaenda zake kutoka usoni pa Yehova+ na kukaa katika nchi ya Ukimbizi upande wa mashariki wa Edeni.