16 “Ee Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,+ unayeketi juu ya makerubi, wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Wewe mwenyewe umezifanya mbingu na dunia.+
4 Na utukufu wa Yehova+ ukainuka juu kutoka kwa makerubi mpaka kwenye mlango wa nyumba, nayo nyumba hiyo ikajaa wingu+ hatua kwa hatua, na ua wenyewe ulikuwa umejaa wangavu wa utukufu wa Yehova.