-
Mathayo 6:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Mnaposali msiseme mambo yaleyale tena na tena, kama vile watu wa mataifa wanavyofanya, kwa maana wao hufikiri watasikiwa kwa kutumia maneno mengi.
-
-
Mathayo 6:7Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
7 Lakini mnaposali, msiseme mambo yaleyale tena na tena, kama vile watu wa mataifa hufanya, kwa maana wao huwazia watapata kusikiwa kwa utumizi wao wa maneno mengi.
-