31 Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu wote waliokuwa pamoja naye: “Rarueni mavazi yenu,+ na mvae nguo za magunia,+ mlie mbele ya Abneri.” Hata mfalme Daudi akatembea nyuma ya kile kitanda.
19 Ndipo Tamari akatia majivu+ juu ya kichwa chake, akairarua ile kanzu yenye mistari-mistari aliyokuwa amevaa; naye akaweka mikono yake juu ya kichwa chake,+ akatembea akienda zake, akitembea huku akilia.