Danieli 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Walipaswa kuwa vijana* wasio na kasoro yoyote, wazuri kwa umbo, waliobarikiwa kuwa na hekima, ujuzi, na utambuzi,+ na wanaoweza kutumikia katika jumba la mfalme. Alipaswa kuwafundisha maandishi na lugha ya Wakaldayo. Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:4 dp 7, 33-34; w97 7/15 15 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:4 Unabii wa Danieli, kur. 7, 33-34 Mnara wa Mlinzi,7/15/1997, uku. 1511/1/1992, kur. 13-14
4 Walipaswa kuwa vijana* wasio na kasoro yoyote, wazuri kwa umbo, waliobarikiwa kuwa na hekima, ujuzi, na utambuzi,+ na wanaoweza kutumikia katika jumba la mfalme. Alipaswa kuwafundisha maandishi na lugha ya Wakaldayo.