Kumbukumbu la Torati 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Yehova aliniamuru mimi wakati huo niwafundishe masharti na maamuzi ya hukumu, ili ninyi myatende katika nchi ambayo mnavuka ili kuimiliki.+ Zaburi 119:171 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 171 Midomo yangu na ibubujike sifa,+Kwa maana unanifundisha masharti yako.+
14 Na Yehova aliniamuru mimi wakati huo niwafundishe masharti na maamuzi ya hukumu, ili ninyi myatende katika nchi ambayo mnavuka ili kuimiliki.+