Zaburi 63:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nafsi yangu imeshiba sehemu bora, naam, mafuta,+Na kwa midomo yenye vigelegele vya shangwe kinywa changu hutoa sifa.+ Zaburi 71:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,+Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako za ajabu.+ Zaburi 145:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Watabubujikwa na maneno wakitaja wingi wa wema wako,+Na kwa sababu ya uadilifu wako watapiga vigelegele vya shangwe.+ Yohana 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Yule atakayekunywa maji ambayo nitampa hatapatwa na kiu hata kidogo,+ lakini maji ambayo nitampa yatakuwa chemchemi ya maji+ ndani yake, inayobubujika ili kutokeza uzima wa milele.”+
5 Nafsi yangu imeshiba sehemu bora, naam, mafuta,+Na kwa midomo yenye vigelegele vya shangwe kinywa changu hutoa sifa.+
17 Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,+Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako za ajabu.+
7 Watabubujikwa na maneno wakitaja wingi wa wema wako,+Na kwa sababu ya uadilifu wako watapiga vigelegele vya shangwe.+
14 Yule atakayekunywa maji ambayo nitampa hatapatwa na kiu hata kidogo,+ lakini maji ambayo nitampa yatakuwa chemchemi ya maji+ ndani yake, inayobubujika ili kutokeza uzima wa milele.”+