Zaburi 43:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nami nitakuja kwenye madhabahu ya Mungu,+Kwa Mungu, ambaye ni kushangilia kwangu kwa furaha.+Nami nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.+ Zaburi 71:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Midomo yangu itapiga vigelegele kwa shangwe wakati wowote ninapokupigia muziki,+Naam, nafsi yangu, ambayo umeikomboa.+ Zaburi 135:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msifuni Yah, kwa maana Yehova ni mwema.+Lipigieni jina lake muziki, kwa maana linapendeza.+
4 Nami nitakuja kwenye madhabahu ya Mungu,+Kwa Mungu, ambaye ni kushangilia kwangu kwa furaha.+Nami nitakusifu kwa kinubi, Ee Mungu, Mungu wangu.+
23 Midomo yangu itapiga vigelegele kwa shangwe wakati wowote ninapokupigia muziki,+Naam, nafsi yangu, ambayo umeikomboa.+