1 Wakorintho 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Hata hivyo, tunapohukumiwa,+ Yehova+ anatutia nidhamu, ili tusihukumiwe+ pamoja na ulimwengu.+ Waebrania 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ijapokuwa yeye alikuwa Mwana, alijifunza kutii kutokana na mambo aliyoteseka;+ Waebrania 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+
10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+