2 Samweli 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Na sasa, Yehova Mungu, lile neno ambalo umesema kumhusu mtumishi wako na kuihusu nyumba yake ulifanye mpaka wakati usio na kipimo na ufanye kama ulivyosema.+ Zaburi 119:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Ulikumbuke neno lako kwa mtumishi wako,+Ambalo umenifanya nilingojee.+
25 “Na sasa, Yehova Mungu, lile neno ambalo umesema kumhusu mtumishi wako na kuihusu nyumba yake ulifanye mpaka wakati usio na kipimo na ufanye kama ulivyosema.+