Zaburi 17:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Usikie jambo la uadilifu, Ee Yehova; Usikilize kwa makini kilio changu cha kusihi;+Tega sikio kwa sala yangu bila midomo ya udanganyifu.+ Zaburi 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Unitegee sikio lako.+Unikomboe haraka.+Uwe ngome yangu yenye miamba,+Nyumba yenye ngome ili kuniokoa.+ Zaburi 65:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee msikiaji wa sala, kwako wewe watu wote wenye mwili watakuja.+
17 Usikie jambo la uadilifu, Ee Yehova; Usikilize kwa makini kilio changu cha kusihi;+Tega sikio kwa sala yangu bila midomo ya udanganyifu.+
2 Unitegee sikio lako.+Unikomboe haraka.+Uwe ngome yangu yenye miamba,+Nyumba yenye ngome ili kuniokoa.+