2 Wafalme 19:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno ya Senakeribu ambayo ametuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai. Zaburi 33:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Tazama! Jicho la Yehova linawaelekea wale wanaomwogopa,+Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo,+ Zaburi 34:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+
16 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno ya Senakeribu ambayo ametuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai.
18 Tazama! Jicho la Yehova linawaelekea wale wanaomwogopa,+Wale wanaozingojea fadhili zake zenye upendo,+
15 Macho ya Yehova yanawaelekea waadilifu,+Na masikio yake yanakielekea kilio chao cha kuomba msaada.+