Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 27:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Uwe na hekima, mwanangu, na kuufanya moyo wangu ushangilie,+ ili nipate kumjibu anayenidhihaki.+

  • Isaya 37:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Pengine Yehova Mungu wako atayasikia maneno ya Rabshake,+ ambaye mfalme wa Ashuru bwana wake alimtuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai, naye kwa kweli atamtoza hesabu kwa ajili ya maneno ambayo Yehova, Mungu wako, ameyasikia.+ Nawe uinue sala+ kwa ajili ya mabaki ambao wanapatikana.’”+

  • Isaya 37:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno yote ya Senakeribu+ ambayo ametuma ili kumdhihaki Mungu aliye hai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki