12 Wakati siku zako zitakapotimia,+ nawe ulale pamoja na mababu zako,+ ndipo nitakapoinua uzao wako baada yako, ambao utatoka ndani ya viuno vyako; nami kwa kweli nitaufanya imara ufalme wake.+
10 Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya jina langu,+ naye atakuwa mwanangu,+ nami nitakuwa baba+ yake. Nami hakika nitakifanya imara kiti cha ufalme+ wake juu ya Israeli mpaka wakati usio na kipimo.’