7 Ni nani ambaye hapaswi kukuogopa,+ Ee Mfalme wa mataifa,+ kwa maana inafaa kwako; kwa sababu kati ya wote wenye hekima wa mataifa na kati ya falme zao zote kwa vyovyote hakuna yeyote aliye kama wewe.+
7 akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu+ na kumpa utukufu,+ kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ na kwa hiyo mwabuduni Yeye aliyezifanya+ mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”+