Zaburi 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana ufalme ni wa Yehova,+Naye anayatawala mataifa.+ Zaburi 93:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 93 Yehova mwenyewe amekuwa mfalme!+Amevaa adhama;+Yehova amevaa—amejifunga mshipi wa nguvu.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isipate kutikiswa.+ Ufunuo 11:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 wakisema: “Tunakushukuru wewe,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ Yeye aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu+ na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+
93 Yehova mwenyewe amekuwa mfalme!+Amevaa adhama;+Yehova amevaa—amejifunga mshipi wa nguvu.+Nchi yenye kuzaa pia hufanywa imara ili isipate kutikiswa.+
17 wakisema: “Tunakushukuru wewe,+ Yehova Mungu, Mweza-Yote,+ Yeye aliyeko+ na aliyekuwako, kwa sababu umechukua nguvu zako kuu+ na kuanza kutawala ukiwa mfalme.+