Zaburi 89:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+ Danieli 4:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+
6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+
35 Na wakaaji wote wa dunia wanaonwa kuwa si kitu,+ naye anafanya kulingana na mapenzi yake kati ya majeshi ya mbinguni na wakaaji wa dunia.+ Wala hakuna yeyote anayeweza kuzuia mkono wake+ au anayeweza kumuuliza, ‘Umekuwa ukifanya nini?’+