Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+

      Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+

      Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+

  • Zaburi 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Wewe mwenyewe umefanya mambo mengi,+

      Ee Yehova Mungu wangu, naam, kazi zako za ajabu na mawazo yako kutuelekea;+

      Hakuna wa kulinganishwa nawe.+

      Ikiwa ningetaka kueleza na kusema juu yake,

      Zimekuwa nyingi sana kuliko vile ninavyoweza kusimulia.+

  • Zaburi 71:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Uadilifu wako, Ee Mungu, unafika kileleni;+

      Na kuhusu mambo makuu ambayo umeyafanya,+

      Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?+

  • Zaburi 86:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Hakuna yeyote aliye kama wewe katikati ya miungu, Ee Yehova,+

      Wala hakuna kazi zozote kama zako.+

  • Zaburi 113:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ni nani aliye kama Yehova Mungu wetu,+

      Yeye anayefanya makao yake juu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki