Kutoka 15:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+ Zaburi 89:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+ Isaya 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nawe ukiniambia, ‘Tumemtegemea Yehova Mungu wetu,’ je, yeye siye ambaye mahali pake pa juu+ na madhabahu zake Hezekia ameondoa,+ huku akiwaambia Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii’?”’+
11 Ni nani kati ya miungu aliye kama wewe, Ee Yehova?+Ni nani aliye kama wewe, unayejionyesha kuwa mwenye nguvu katika utakatifu?+Unayestahili kuogopwa+ kwa nyimbo za sifa,+ Unayefanya mambo ya ajabu.+
6 Kwa maana ni nani kule angani anayeweza kulinganishwa na Yehova?+Ni nani anayeweza kufanana na Yehova kati ya wana wa Mungu?+
7 Nawe ukiniambia, ‘Tumemtegemea Yehova Mungu wetu,’ je, yeye siye ambaye mahali pake pa juu+ na madhabahu zake Hezekia ameondoa,+ huku akiwaambia Yuda na Yerusalemu, ‘Mnapaswa kuinama mbele ya madhabahu hii’?”’+