Zaburi 41:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+ Zaburi 145:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kazi zako zote zitakusifu, Ee Yehova,+Na washikamanifu wako watakusifu.+ Yakobo 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+
13 Yehova Mungu wa Israeli na abarikiwe+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo.+Amina na Amina.+
9 Kwa huo sisi humbariki Yehova,+ naam, Baba,+ na bado kwa huo sisi huwalaani+ wanadamu ambao wamekuja kuwako “kwa mfano wa Mungu.”+