2 ndipo mfalme alipomwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku la Mungu wa kweli linakaa katikati ya vitambaa vya mahema.”+
3 “Wewe mwenyewe unajua vema kwamba Daudi baba yangu hakuweza kujenga nyumba kwa jina la Yehova, Mungu wake, kwa sababu ya vita+ walivyomzunguka navyo pande zote, mpaka Yehova alipowaweka chini ya miguu yake.