15 Naye akaendelea kusema: “Amebarikiwa Yehova+ Mungu wa Israeli, aliyesema kwa kinywa chake mwenyewe na Daudi+ baba yangu na kwa mkono wake mwenyewe ametimiza,+ akisema,
11 ndivyo litakavyokuwa neno langu linalotoka katika kinywa changu.+ Halitarudi kwangu bila matokeo,+ bali hakika litatenda yale ambayo yamenipendeza,+ na hakika litafanikiwa katika yale ambayo nimelituma.+