27 Mwishowe makuhani, Walawi, wakasimama na kuwabariki+ watu; na sauti yao ikasikilizwa, hivi kwamba sala yao ikaingia katika makao yake matakatifu, mbinguni.+
24 Kwa maana Kristo hakuingia mahali patakatifu palipofanywa kwa mikono,+ ambapo ni mfano wa uhalisi,+ bali aliingia mbinguni kwenyewe,+ ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu kwa ajili yetu.+