13 (Kwa maana Sulemani alikuwa amejenga jukwaa la shaba na kuliweka katikati ya ua.+ Lilikuwa na urefu wa mikono mitano, upana wa mikono mitano, na kimo cha mikono mitatu; akasimama juu yake.) Akapiga magoti mbele ya kutaniko lote la Waisraeli na kunyoosha mikono yake kuelekea mbinguni,+