- 
	                        
            
            2 Mambo ya Nyakati 6:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 (Kwa maana Sulemani alikuwa amejenga jukwaa+ la shaba na kuliweka katikati ya ua.+ Urefu wake ulikuwa mikono mitano, na upana wake ulikuwa mikono mitano, na kimo chake kilikuwa mikono mitatu; naye akaendelea kusimama juu yake.) Naye akapiga magoti+ mbele ya kutaniko lote la Israeli, akainyoosha mikono yake kuelekea mbinguni.+
 
 -