1 Wafalme 8:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Na ikawa kwamba mara tu Sulemani alipomaliza kusali kwa Yehova kwa sala hii yote na ombi la kutaka kibali, akasimama kutoka mbele ya ile madhabahu ya Yehova, hapo alipokuwa amepiga magoti+ na mikono yake ikiwa imenyooshwa kuelekea mbinguni;+ Zaburi 95:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+ Matendo 20:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alipokuwa amesema mambo haya, akapiga magoti+ pamoja nao wote na kusali.
54 Na ikawa kwamba mara tu Sulemani alipomaliza kusali kwa Yehova kwa sala hii yote na ombi la kutaka kibali, akasimama kutoka mbele ya ile madhabahu ya Yehova, hapo alipokuwa amepiga magoti+ na mikono yake ikiwa imenyooshwa kuelekea mbinguni;+
6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+ Matendo 20:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Alipokuwa amesema mambo haya, akapiga magoti+ pamoja nao wote na kusali.