-
2 Mambo ya Nyakati 6:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 (Kwa maana Sulemani alikuwa amejenga jukwaa+ la shaba na kuliweka katikati ya ua.+ Urefu wake ulikuwa mikono mitano, na upana wake ulikuwa mikono mitano, na kimo chake kilikuwa mikono mitatu; naye akaendelea kusimama juu yake.) Naye akapiga magoti+ mbele ya kutaniko lote la Israeli, akainyoosha mikono yake kuelekea mbinguni.+
-
-
Zaburi 95:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+
Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+
-
Luka 22:41Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
41 Naye mwenyewe akaondoka kwao karibu umbali wa mtupo wa jiwe, akapiga magoti na kuanza kusali,
-
-
-