Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 (Kwa maana Sulemani alikuwa amejenga jukwaa+ la shaba na kuliweka katikati ya ua.+ Urefu wake ulikuwa mikono mitano, na upana wake ulikuwa mikono mitano, na kimo chake kilikuwa mikono mitatu; naye akaendelea kusimama juu yake.) Naye akapiga magoti+ mbele ya kutaniko lote la Israeli, akainyoosha mikono yake kuelekea mbinguni.+

  • Zaburi 95:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ingieni, tuabudu na kuinama;+

      Na tupige magoti+ mbele za Yehova Mtengenezaji wetu.+

  • Luka 22:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Naye mwenyewe akaondoka kwao karibu umbali wa mtupo wa jiwe, akapiga magoti na kuanza kusali,

  • Matendo 20:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Alipokuwa amesema mambo haya, akapiga magoti+ pamoja nao wote na kusali.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki