1 Wafalme 8:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Mara tu Sulemani alipomaliza kumtolea Yehova sala hiyo yote na kuomba kibali chake, aliinuka kutoka mbele ya madhabahu ya Yehova, mahali alipokuwa amepiga magoti akiwa amenyoosha mikono yake kuelekea mbinguni.+
54 Mara tu Sulemani alipomaliza kumtolea Yehova sala hiyo yote na kuomba kibali chake, aliinuka kutoka mbele ya madhabahu ya Yehova, mahali alipokuwa amepiga magoti akiwa amenyoosha mikono yake kuelekea mbinguni.+