-
2 Mambo ya Nyakati 6:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Kisha akasimama mbele ya madhabahu ya Yehova mbele ya kutaniko lote la Waisraeli, akanyoosha mikono yake.+ 13 (Kwa maana Sulemani alikuwa amejenga jukwaa la shaba na kuliweka katikati ya ua.+ Lilikuwa na urefu wa mikono mitano,* upana wa mikono mitano, na kimo cha mikono mitatu; akasimama juu yake.) Akapiga magoti mbele ya kutaniko lote la Waisraeli na kunyoosha mikono yake kuelekea mbinguni,+
-