21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+
16 Yehova amesema hivi: “Simameni tuli katika njia, na kuona, na kuuliza juu ya barabara za zamani za kale, mahali ambapo sasa pana njia nzuri;+ na mtembee ndani yake,+ na kustarehesha nafsi zenu.”+ Lakini waliendelea kusema: “Hatutatembea.”+