2 Mambo ya Nyakati 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 akasema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe mbinguni wala duniani, unayeshika agano na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu watumishi wako wanaotembea mbele zako kwa moyo wao wote.+
14 akasema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe mbinguni wala duniani, unayeshika agano na kuwatendea kwa upendo mshikamanifu watumishi wako wanaotembea mbele zako kwa moyo wao wote.+